Rapper AKA amwagana na mpenzi wake Bonang Matheba
Rapper AKA ametangaza kupitia Twitter kuwa yeye na mtangazaji wa redio na TV, Bonang Matheba wameachana.
“Sad to announce that myself and Bonang have broken up. We tried guys,” alitweet AKA.
Hii ni mara ya pili AKA anatweet kuhusu kuachana na Bonang. Mwaka jana alisema hivyo pia lakini aliifuta post dakika chache baadaye, akisema kuwa waligombana na kisha kuachana.
Bonang bado hajazungumza chochote kuhusu kuachana kwao. Katika msimu wa sikukuu mwishoni mwa mwaka jana, AKA alimkunisha Bonang na ndugu zake.
Rapper AKA amwagana na mpenzi wake Bonang Matheba
Reviewed by Maimuna Haji
on
7:22 AM
Rating: 5
No comments